MAKUBALIANO YA KUANZISHA NDEGE YA MOJA KWA MOJA KUTOKA TANZANIA HADI DALLAS KUKUZA SEKTA YA UTALII.
Tanzania na Jimbo la Dallas la nchini Marekani zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika nyanja za utalii, michezo, uwekezaji pamoja na kubadilishana uzoefu katika masuala ya uhifadhi wa maliasili pamoja na uendelezaji Utalii. Makubaliano hayo yamefikiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro (Mb) pamoja na viongozi mbalimbali katika Jimbo la Dallas wakati walipofanya vikao vya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed